capo: 1st fret [verse] G F G Aah mmmh mmmh F G Ah unaringa umepima? aii utajiju F Huu mwaka utachina G Si ulileta unyang'au F Ukaukwi kunitishia G Unaondoka unaondoka F Kama daladala za kariakoo G Inatoka inatoka F Hadharani unanisusia G Kuropoka ropoka F Ama domo lako shimo la choo G Yanakutoka F Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka G Maana nishapata pa kuegemea F Mmmh napendwa G Na sio kwa ninavyojidekea F Hulka yako ya pupa G Mwenzako ananinyenyekea F Oooh kutendwa G Nakusikia kwenye bomba F Na tena naenjoy [chorus] G Mpa ka raha mpaka natakatishwa F G Mpa ka raha mpaka anipaga kutwa mara tatu F G Mpa ka raha mpaka naogeshwa nakandwa F G Mpa ka raha mpaka na tena naenjoy [interlude] F G F G [verse] F Napenda akinipa G Akinipa migandisho F Kama anapigwa shoti G Akisakata migandisho F Na kama mapenzi G Roho yake bahari huu muda naelea F Maana nishazamaga G Nishakufa mzoga F Na kama penzi melody kali G Mi kwake ndo burudani F Wala sidhani ka G Ataridhika kunikosa F Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka G Maana nishapata pa kuegemea F Mmmh napendwa G Na sio kwa ninavyojidekea F Hulka yako ya pupa G Mwenzako ananinyenyekea F Oooh kutendwa G Nakusikia kwenye bomba F Na tena naenjoy [chorus] G Mpa ka raha mpaka natakatishwa F G Mpa ka raha mpaka anipaga kutwa mara tatu F G Mpa ka raha mpaka naogeshwa nakandwa F G Mpa ka raha mpaka na tena naenjoy
Tags: Easy chords, guitar chords for, chords of a song, song lyrics by Marioo