Artist Profile

Raha Chords

capo: 1st fret

[verse]

G        F     G
Aah mmmh mmmh
               F              G
Ah unaringa umepima? aii utajiju
              F
Huu mwaka utachina
                   G
Si ulileta unyang'au

            F
Ukaukwi kunitishia
               G
Unaondoka unaondoka
                 F
Kama daladala za kariakoo
           G
Inatoka inatoka

           F
Hadharani unanisusia
           G
Kuropoka ropoka
                 F
Ama domo lako shimo la choo
      G
Yanakutoka

                        F
Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka
                  G
Maana nishapata pa kuegemea
            F
Mmmh napendwa
                G
Na sio kwa ninavyojidekea
           F
Hulka yako ya pupa
              G
Mwenzako ananinyenyekea

           F
Oooh kutendwa
             G
Nakusikia kwenye bomba
                F
Na tena naenjoy

[chorus]

        G
Mpa ka raha mpaka natakatishwa
F              G
Mpa ka raha mpaka anipaga kutwa mara tatu
F              G
Mpa ka raha mpaka naogeshwa nakandwa
F              G
Mpa ka raha mpaka na tena naenjoy

[interlude]

F  G  F  G

[verse]

           F
Napenda akinipa
          G
Akinipa migandisho
              F
Kama anapigwa shoti
            G
Akisakata migandisho

          F
Na kama mapenzi
                          G
Roho yake bahari huu muda naelea
         F
Maana nishazamaga
            G
Nishakufa mzoga

        F
Na kama penzi melody kali
             G
Mi kwake ndo burudani
     F
Wala sidhani ka
             G
Ataridhika kunikosa

                        F
Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka
                     G
Maana nishapata pa kuegemea
           F
Mmmh napendwa
                  G
Na sio kwa ninavyojidekea
           F
Hulka yako ya pupa
              G
Mwenzako ananinyenyekea

          F
Oooh kutendwa
             G
Nakusikia kwenye bomba
                F
Na tena naenjoy

[chorus]

        G
Mpa ka raha mpaka natakatishwa
F              G
Mpa ka raha mpaka anipaga kutwa mara tatu
F              G
Mpa ka raha mpaka naogeshwa nakandwa
F              G
Mpa ka raha mpaka na tena naenjoy    
Tags: Easy chords, guitar chords for, chords of a song, song lyrics by Marioo